Bomet

| Bomet | |
| Kaunti | Bomet |
|---|---|
| Idadi ya wakazi | |
| - Wakazi kwa ujumla | 110,963 |
Bomet ni mji mkuu wa kaunti ya Bomet nchini Kenya katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki.
Wakazi walikuwa 110,963 wakati wa sensa ya mwaka 2009[1].
Tanbihi
- ↑ Sensa ya Kenya 2009 Ilihifadhiwa 9 Januari 2019 kwenye Wayback Machine., tovuti ya KNBS, ilitazamwa Januari 2009.