Hoima

| Majiranukta: 01°25′55″N 31°21′09″E / 1.43194°N 31.35250°E | |
| Nchi | Uganda |
|---|---|
| Mkoa | Magharibi |
| Wilaya | Hoima |
| Idadi ya wakazi | |
| - Wakazi kwa ujumla | 36,800 |
Hoima ni mji mkuu wa Wilaya ya Hoima nchini Uganda.
Idadi ya wakazi wake ni takriban 36,800.
Hoima ipo takriban kilomita 200 kwa barabara ,kaskazini-magharibi ya mji wa Kampala, barabara ya Hoima-Kampala imetengenezwa kwa kiwango cha lami.Majira-nukta ya Hoima ni 1°25'55.0"N 31°21'09.0"E (Latitude:1.431944; Longitude:31.352500).[1]
Tazama pia
Tanbihi
- ↑ Kigezo:Google maps
Viungo vya nje

