Vilnius

Vilnius ni mji mkuu wa Lituanya. Una wakazi 558,165 (mwaka 2009).
Jiografia
Eneo lake ni km² 401.

Historia
Mji ulianzishwa 1387.
Picha
-
Boma la Gediminas
-
Kanisa la Mtakatifu Anna
Viungo vya nje
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Lituanya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Vilnius kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |